• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
    • Mrejesho |
Halmashauri ya Wilaya ya Maswa
Halmashauri ya Wilaya ya Maswa

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Maswa

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Divisheni
      • Utawala na Usimamizi wa Rasilimali Watu
      • Huduma za Afya, Ustawi wa Jamii na Lishe
      • Miundombinu, Maendeleo ya Vijijini ya Mjini
      • Kilimo, Mifugo na Uvuvi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Elimu ya Awali na Elimu ya Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Mipango na Uratibu
      • Viwanda, Biashara na Uwekezaji
    • Vitengo
      • Tehama
      • Huduma za Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Usimamizi wa Ununuzi
      • Michezo, Utamaduni na Sanaa
      • Uhifadhi wa Maliasili na Mazingira
      • Mawasiliano Serikalini
      • Usimamizi wa Taka na Usafi
      • Fedha na Uhasibu
  • Fursa za Uwekezaji
    • Kilimo
    • Viwanda
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za kudumu za Halmashauri
    • Ratiba
  • Miradi
    • Miradi iliyopangwa
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Ripoti
    • Sheria ndogo
    • Fomu
    • Mpango Mkakati
    • Mkataba wa huduma kwa mteja
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Video

DAS AZINDUA MFUMO WA STAKABADHI GHALANI

Posted on: March 13th, 2024

Katibu Tawala wa Wilaya ya Maswa Mkoani Simiyu Ndg Athuman Kalaghe amezindua mfumo wa stakabadhi ghalani ambao utamsaidia mkulima kupata faida kwa kuwa atauza kulingana na bei iliyopo sokoni.

Ametoa maagizo hayo katika uzinduzi wa mfumo wa stakabadhi ghalani uliofanyika leo tarehe 13 march 2024 katika maghala yaliyopo Sola na kuhudhuliwa na makatibu wa AMCOS Mrajisi mkuu wa Mkoa mkoa wa Simiyu, Mwenyekiti wa vyama vya AMCOS Mkoa wa Simiyu

"Mara nyingi tumekuwa tukipoteza mapato mengi ususani kwenye zao la choroko kwa sababu zao letu la choroko limekuwa likitoroshwa kutoka nje ya mipaka yetu ya Wilaya kwa hiyo tunajikuta Halmashauri yetu ya Wilaya tunakosa mapato.” Amesema Ndg Kalaghe

 Katibu Tawala amesema Lengo la kutumia mfumo huo ni kuwa na takwimu sahihi za ukusanyaji wa mazao ili kuwezesha serikali kukusanya mapato yake kwa usahihi kwa kuwa takwimu sahihi zikiwepo zitaisaidia Halmashauri  kupata mapato mengi.

Pia ameongeza kuwa mfumo huo utampatia mkulima bei nzuri iliyopo sokoni sasa na kumuwezesha kupata faida pamoja na serikali pia itapata faida kutokana na matumizi ya mfumo huo.

Pia ametoa wito kwa makatibu wa AMCOS waliochaguliwa kuwa waadilifu kwa kuwa wao ndio chanzo cha kufaidika kwa mkulima aliyepo kijijini kwa kuwa Maswa wanaweza kutumia mfumo huo.

“Uadilifu ndio jambo kubwa sana kwa makatibu wa AMCOS tukitaka Wilaya yetu itulie  uandilifu wenu kwenye kazi , kwenye ukusanyaji wa choroko tusimraghai mkulima kule kama bei imepanda tununue kwa bei iliyopanda sio bei ni 1100 wewe unakwenda kununua 600 ndio maana wengine wanakata tamaa.” Ndg Kalaghe

Mhe Kalaghe amesema serikali ya awamu ya sita inataka mkulima afaidike  kwa kuwa stakabadhi ghalani ndio njia pekee iliyomtengenezea mkulima  aweze kupata mafanikio na serikali itapata mapato yake kwa urahisi na kujua takwimu sahihi za mzigo au mazao yaliyokusanywa kutoka kwa wakulima.

“Mkulima anasubiri anaangalia kile kitakachouzwa kitakachozidi je? atarudishiwa kama tulivyoahidi? kwa hiyo ndugu zetu wakulima wa maswa  wanasubiri kuona hilo sasa watakaporudishiwa kile ambacho kimezidi ndio utaona ghala hili litajaa tulipanga tukusanye tani elfu sitini  lakini mpaka sasa tuna tani elfu 50.”  Katibu Tawala

Nae Mwenyekiti wa AMCOS Mkoa wa Simiyu Ndg lazato Walwa ameishukuru Wilaya ya Maswa kwa kupokea malalamiko na kuyapatia ufumbuzi kwa kujikita katika kutafuta masoko ambapo zaidi ya tani 50 zimekusanywa  na AMCOS  kwa ajili ya  mnada kwa kutumia mfumo wa stakabadhi ghalani.

 “Nitoe shukrani zangu kwa Mkuu wa Wilaya, Mkurugenzi Mtendaji na safu yotekwa maana kipekee kabisa waliweza kuona hii ni fursa kwa vijana wao ambao wapo ndani ya Maswa  lakini pia ni fursa kwa sisi ambao ni wakulima kwa maana ya mazao yetu.”

“ tunaweza kuangalia ni   kwa namna gani kabla hatujaingia kwenye soko kama chama kikuu yalikuwa kwenye level gani mara baada ya kuingia kwenye soko yalienda kwenye level gani  niwashukuru TMX kwa kuwa wameweza kutuunganisha na wafanyabiashara wakubwa ambao kupitia soko la kimtandao tunaona juhudi zinazofanyika kwa kuona namna ya kupanda kwa soko la choroko.” Amesema Ndg Walwa

Katika wilaya ya Maswa vyama 11 vya AMCOS vimepewa dhamana ya kukusanya mazao kwa ajili ya kupeleka ghala kuu ambapo mnada utakapofanyika kupitia mfuko wa stakabadhi ghalani.


Matangazo

  • TANGAZO LA MKUTANO WA BARAZA LA MADIWANI June 19, 2025
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI May 20, 2022
  • TANGAZO LA NAFASI YA KAZI May 27, 2022
  • MATOKEO YA USAILI WA MCHUJO May 30, 2022
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • WALIMU WA AWALI WAPATIWA MAFUNZO YA MBINU BORA ZA KUFUNDISHIA

    June 10, 2025
  • PPRA YATOA MAFUNZO YA MFUMO WA NeST KWA WATAALAMU WA UNUNUZI WILAYANI MASWA

    March 27, 2025
  • DKT ANNEY; NENDENI MKASIMAMIE MIRADI YETU VIZURI

    March 26, 2025
  • VIKUNDI 15 VYA WANAWAKE, VIJANA NA WATU WENYE ULEMAVU VYAPATA MKOPO

    March 26, 2025
  • Tazama zote

Video

Fursa za uwekezaji Mkoani Simiyu
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Sensa ya mwaka 2022
  • Taarifa ya Mapato na matumizi
  • Mfumo wa FFARS
  • Mfumo wa IMIS
  • Mfumo wa PlanRep
  • Government Web Framework
  • Mfumo wa PREM
  • Maswa DC Mail Domain
  • Hotuba ya Mh. Waziri Mkuu PLANREP/FFARS

Viunganishi linganifu

  • Tovuti ya Mkoa wa Simiyu
  • Utumishi
  • Tovuti kuu ya Serikali
  • TAMISEMI
  • Sekretariet ya Ajira
  • Ikulu
  • Baraza la Mitihani Tanzani
  • Wizara ya Elimu Tanzania
  • Wizara ya Afya
  • Wizara ya Fedha
  • Ajira

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Mwonekano wa Ramani

Wasiliana Nasi

    Halmashauri ya Wilaya ya Maswa

    Sanduku la Posta: 170, MASWA

    simu ya Mkononi: +255 282 750 271

    Simu: +255 282 750 271

    Barua Pepe: ded@maswadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Copyright ©2022 Maswa District Council. All rights reserved.