• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Halmashauri ya Wilaya ya Maswa
Halmashauri ya Wilaya ya Maswa

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Maswa

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala na Utumishi
      • Fedha
      • Afya
      • Ardhi na Mali asili
      • Maji
      • Ujenzi
      • Kilimo
      • Mifugo
      • Maendeleo ya Jamii
      • Usafi na Mazingira
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Mipango na Ufuatiliaji
    • Vitengo
      • Tehama
      • Sheria
      • Ukaguzi
      • Ugavi na Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Nyuki
  • Fursa za Uwekezaji
    • Kilimo
    • Viwanda
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za kudumu za Halmashauri
    • Ratiba
  • Miradi
    • Miradi iliyopangwa
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Ripoti
    • Sheria ndogo
    • Fomu
    • Mpango Mkakati
    • Mkataba wa huduma kwa mteja
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Video

Kikao cha wataalum kuhusu suala la kukusanya mapato

Posted on: February 1st, 2020

ataalam mbalimbali wilayani Maswa wamefanya kikao maalum kwa ajili ukasanyaji mapato hapa Wilayani. Katika kikao hiki wamepitishwa kwenye mambo muhimu ya utekelezaji mbalimbali zikiwemo sheria na taratibu zinazowaongoza katika kazi hiyo.

Wamejifunza Sheria kuu na sheria ndogo za mapato pamoja na kufundishwa jinsi ya kutumia mfumo wa kielektroniki kukusanya ushuru kwenye maeneo yao.

Baada ya kupitishwa katika masuala hayo yote, Mkurugenzi Mtendaji ametumia fursa hiyo kutoa maagizo kwa viongozi hao. Amesema kila Mtendaji wa kijiji kisicho makao makuu ya Kata kuanzia Jumatatu tarehe 3/2/2020 aanze kusaini katika kitabu cha mahudhurio cha shule iliyoko katika kijijichake na walioko makao makuu ya kata wasaini katika ofisi ya mtendaji wa Kata.

Pia Maafisa Ugani wote kuanzia Jumatatu 3/2/2020 waanze kusajiri Wakulima katika Daftari la Wakulima na kuweka taarifa za kuwatembelea na kutoa huduma kwa Wakulima na Wafugaji.

Matangazo

  • WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA NA KIDATO CHA KWANZA MWAKA 2021 WILAYA YA MASWA December 18, 2020
  • Fomu za kujiunga na Shule za Sekondari ( Joining Instructions ) Wilayani Maswa December 15, 2020
  • Tangazo la nafasi za kazi August 03, 2020
  • Tangazo la Kazi August 26, 2020
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • Ziara ya Wakuu wa Idara kukagua miradi ya maendeleo

    January 14, 2021
  • Kikao cha RAS Simiyu na Watumishi Maswa

    January 06, 2021
  • Waziri Jafo akagua ujenzi wa Viwanda Maswa

    January 03, 2021
  • Waheshimiwa Madiwani waapishwa Maswa

    December 07, 2020
  • Tazama zote

Video

Fursa za uwekezaji Mkoani Simiyu
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Taarifa ya Mapato na matumizi
  • Mfumo wa FFARS
  • Mfumo wa IMIS
  • Mfumo wa PlanRep
  • Government Web Framework
  • Mfumo wa PREM
  • Maswa DC Mail Domain
  • Hotuba ya Mh. Waziri Mkuu PLANREP/FFARS
  • Mfumo wa MVC-MIS

Viunganishi linganifu

  • Tovuti ya Mkoa wa Simiyu
  • Utumishi
  • Tovuti kuu ya Serikali
  • TAMISEMI
  • Sekretariet ya Ajira
  • Ikulu
  • Baraza la Mitihani Tanzani
  • Wizara ya Elimu Tanzania
  • Wizara ya Afya
  • Wizara ya Fedha
  • Ajira

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Mwonekano wa Ramani

Wasiliana Nasi

    Halmashauri ya Wilaya ya Maswa

    Sanduku la Posta: 170, MASWA

    simu ya Mkononi: +255 282 750 271

    Simu: +255 282 750 271

    Barua Pepe: ded@maswadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Copyright ©2020 Maswa District Council. All rights reserved.