• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Halmashauri ya Wilaya ya Maswa
Halmashauri ya Wilaya ya Maswa

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Maswa

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala na Utumishi
      • Fedha
      • Afya
      • Ardhi na Mali asili
      • Maji
      • Ujenzi
      • Kilimo
      • Mifugo
      • Maendeleo ya Jamii
      • Usafi na Mazingira
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Mipango na Ufuatiliaji
    • Vitengo
      • Tehama
      • Sheria
      • Ukaguzi
      • Ugavi na Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Nyuki
  • Fursa za Uwekezaji
    • Kilimo
    • Viwanda
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za kudumu za Halmashauri
    • Ratiba
  • Miradi
    • Miradi iliyopangwa
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Ripoti
    • Sheria ndogo
    • Fomu
    • Mpango Mkakati
    • Mkataba wa huduma kwa mteja
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Video

Ardhi na Mali asili

Idara ya Ardhi na Maliasili ina shughulika na kazi zifuatazo:-

i.Kuandaa Michoro ya mipango miji.

Halmashauri ya Wilaya ya Maswa imeandaa michoro katika maeneo yafuatayo; Mamlaka ya mji mdogo wa Maswa, Malampaka na Lalago.

ii.Kutoa huduma ya upimaji wa viwanja na mashamba.

Wilaya inayo maeneo matatu (3) yanayohitaji upimaji wa viwanja na huduma nyingine za ardhi, ambayo ni: Mammlaka ya mji mdogo, Malampaka na Lalago. Ukuaji wa miji hiyo unaongezeka kwa kasi siku hadi siku kutokana ongezeko la ujenzi wa viwanda vya pamba na idadi ya watu kuhamia mijini. Ongezeko hili ambalo limeinua kipato linasababisha mahitaji ya viwanja vya kuishi na matumizi mengineyo.

Maombi ya viwanja Zaidi ya 700 yanapokelewa kwa mwezi. Mamlaka ya mji mdogo wa Maswa kuna viwanja 4,872, Malampaka viwanja 650, na Lalago viwanja 300 Jumla ni viwanja 5,822. Malengo ya mwaka wa fedha 2015/2016 ni kupima viwanja 1,250 Mamlaka ya mji mdogo wa Maswa, Malampaka viwanja 530 na Lalago viwanja 250.

Idara ina mashamba 3,674 yaliyopimwa na kutolewa hati za kimila na hati za mijini 1,500 zimetolewa.

iii.Kusimamia utunzaji wa mazingira na uoto wa asili.

Idara pia inahusika kutoa huduma za ugani kwa Wilaya nzima katika masuala ya upandaji miti na hifadhi ya mazingira hasa utunzaji wa vyanzo vya maji. Maofisa ugani wanatoa huduma ya elimu ya kuhifadhi mazingira hususani upandaji miti na kutunza ngitili.


Matangazo

  • WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA NA KIDATO CHA KWANZA MWAKA 2021 WILAYA YA MASWA December 18, 2020
  • Fomu za kujiunga na Shule za Sekondari ( Joining Instructions ) Wilayani Maswa December 15, 2020
  • Tangazo la nafasi za kazi August 03, 2020
  • Tangazo la Kazi August 26, 2020
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • Sherehe ya Pongezi kwa Walimu eneo la Lalago

    February 24, 2021
  • Ziara ya Katibu Tawala Mkoa wa Simiyu Wilayani Maswa

    February 23, 2021
  • Ziara ya Wakuu wa Idara kukagua miradi ya maendeleo

    January 14, 2021
  • Kikao cha RAS Simiyu na Watumishi Maswa

    January 06, 2021
  • Tazama zote

Video

Fursa za uwekezaji Mkoani Simiyu
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Taarifa ya Mapato na matumizi
  • Mfumo wa FFARS
  • Mfumo wa IMIS
  • Mfumo wa PlanRep
  • Government Web Framework
  • Mfumo wa PREM
  • Maswa DC Mail Domain
  • Hotuba ya Mh. Waziri Mkuu PLANREP/FFARS
  • Mfumo wa MVC-MIS

Viunganishi linganifu

  • Tovuti ya Mkoa wa Simiyu
  • Utumishi
  • Tovuti kuu ya Serikali
  • TAMISEMI
  • Sekretariet ya Ajira
  • Ikulu
  • Baraza la Mitihani Tanzani
  • Wizara ya Elimu Tanzania
  • Wizara ya Afya
  • Wizara ya Fedha
  • Ajira

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Mwonekano wa Ramani

Wasiliana Nasi

    Halmashauri ya Wilaya ya Maswa

    Sanduku la Posta: 170, MASWA

    simu ya Mkononi: +255 282 750 271

    Simu: +255 282 750 271

    Barua Pepe: ded@maswadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Copyright ©2020 Maswa District Council. All rights reserved.